2 Samueli 23:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Benaya mwana wa Yehoyada, kutoka Kabzeeli, alikuwa askari shujaa ambaye alifanya mambo mengi ya ajabu. Aliwaua mashujaa wawili kutoka Moabu, na siku moja wakati wa theluji, alishuka shimoni na kuua simba.

2 Samueli 23

2 Samueli 23:18-23