2 Samueli 20:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Abishai akatoka akiwa pamoja na Yoabu, Wakerethi na Wapelethi pamoja na mashujaa wote. Hao wote waliondoka Yerusalemu kwenda kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.

2 Samueli 20

2 Samueli 20:1-10