2 Samueli 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia Abishai, “Sasa, Sheba mwana wa Bikri, atatuletea madhara kuliko Absalomu. Chukua watumishi wangu, umfuatie Sheba asije akaingia kwenye miji yenye ngome akaponyoka, tusimwone tena.”

2 Samueli 20

2 Samueli 20:1-12