2 Samueli 18:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akawaamuru Yoabu, Abishai na Itai, “Kwa ajili yangu, mtendeeni yule kijana Absalomu kwa upole.” Watu wote walimsikia mfalme alipoamuru makamanda wake kuhusu Absalomu.

2 Samueli 18

2 Samueli 18:1-15