2 Samueli 18:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akawaambia, “Lolote mnaloona ni bora kwenu, nitalitenda.” Hivyo, mfalme akasimama kando ya lango, huku jeshi lake likipita: Mamia na maelfu.

2 Samueli 18

2 Samueli 18:1-11