2 Samueli 18:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mlinzi akasema, “Naona kuwa yule anayekimbia zaidi ni Ahimaasi mwana wa Sadoki.” Mfalme akasema, “Huyo ni mtu mwema, anatuletea habari njema.”

2 Samueli 18

2 Samueli 18:26-33