2 Samueli 16:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati Daudi alipowasili kule Bahurimu, alitokea mtu mmoja wa ukoo wa Shauli, jina lake Shimei mwana wa Gera, akaanza kumlaani Daudi kwa mfululizo.

2 Samueli 16

2 Samueli 16:1-9