2 Samueli 16:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamwambia Siba, “Basi, yale yaliyokuwa mali ya Mefiboshethi sasa ni mali yako.” Siba akamwambia, “Nashukuru, bwana wangu mfalme, nami naomba nipate fadhili mbele yako daima.”

2 Samueli 16

2 Samueli 16:1-5