2 Samueli 15:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme akamwambia Sadoki, “Lirudishe sanduku la agano la Mungu mjini. Kama ninakubalika mbele ya Mwenyezi-Mungu, bila shaka atanirudisha na kunijalia kuliona tena sanduku lake na kuyaona maskani yake.

2 Samueli 15

2 Samueli 15:18-34