2 Samueli 15:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani Abiathari akatoka, hata na kuhani Sadoki akatoka pamoja na Walawi wote huku wamelibeba sanduku la agano la Mungu. Wakaliweka chini lile sanduku la Mungu, mpaka watu wote walipopita kutoka mjini Yerusalemu.

2 Samueli 15

2 Samueli 15:23-33