2 Samueli 13:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Mikate hiyo ilipokuwa tayari, Tamari akaiopoa kutoka kikaangoni. Akampelekea Amnoni, lakini Amnoni alikataa kula, akasema kila mmoja na atolewe nje, na wote wakaondoka.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:3-18