2 Samueli 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Amnoni akamwambia Tamari, “Sasa niletee mikate hiyo chumbani kwangu, halafu unilishe.” Tamari aliichukua mikate aliyoiandaa na kuipeleka chumbani kwa kaka yake Amnoni.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:9-16