2 Samueli 13:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, watumishi wa Absalomu walimtendea Amnoni kama walivyoamriwa na Absalomu, kisha wana wa kiume wengine wa mfalme wakaondoka kila mmoja akapanda nyumbu wake na kukimbia.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:22-32