2 Samueli 13:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Absalomu akawaambia watumishi wake, “Mwangalieni Amnoni atakapokuwa amekunywa divai na kufurahi. Nitakapowaambia, ‘Mpigeni Amnoni,’ muueni. Hiyo ni amri yangu kwenu. Jipeni moyo na muwe hodari.”

2 Samueli 13

2 Samueli 13:23-31