2 Samueli 13:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Absalomu alimwendea mfalme Daudi, akamwambia, “Tazama, mimi mtumishi wako ninao wakata-kondoo manyoya. Nakuomba wewe mfalme pamoja na watumishi wako, mwende pamoja nami, mtumishi wako.”

2 Samueli 13

2 Samueli 13:16-31