2 Samueli 13:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya miaka miwili mizima, Absalomu alikuwa na shughuli ya kuwakata kondoo wake manyoya mjini Baal-hasori, karibu na Efraimu. Akawaalika watoto wote wa kiume wa mfalme.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:17-31