2 Samueli 13:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Tamari alijipaka majivu kichwani, akalipasua vazi lake, akaweka mikono yake kichwani, halafu akaondoka huku analia kwa sauti.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:9-28