2 Samueli 13:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Amnoni na yule kijana wakamtoa nje na kuufunga mlango kwa komeo. Tamari alikuwa amevaa vazi refu lenye mikono mirefu kwani hivyo ndivyo walivyovaa mabikira wa mfalme zamani hizo.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:12-19