2 Samueli 12:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akawajibu, “Ni kweli mtoto alipokuwa hai, nilifunga na kulia. Nilifanya hivyo kwani nilifikiri, ‘Nani anajua? Huenda Mwenyezi-Mungu akanirehemu ili mtoto aishi’.

2 Samueli 12

2 Samueli 12:21-23