2 Samueli 12:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo watumishi wake wakamwuliza, “Ni jambo gani hili ulilofanya? Mtoto alipokuwa hai, wewe ulifunga na kumlilia. Lakini alipokufa, umeinuka, ukala chakula.”

2 Samueli 12

2 Samueli 12:14-26