2 Samueli 11:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi alituma wajumbe wamlete. Basi Bathsheba akaja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye; (mwanamke huyo alikuwa ndio tu amejitakasa baada ya hedhi yake); kisha akarudi nyumbani kwake.

2 Samueli 11

2 Samueli 11:1-11