2 Samueli 11:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akatuma mtu kuuliza mwanamke huyo ni nani. Mtu huyo akamwambia Daudi “Mwanamke huyo ni Bathsheba binti wa Eliabu, na ni mke wa Uria Mhiti.”

2 Samueli 11

2 Samueli 11:1-6