2 Samueli 10:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Waaramu walikimbia mbele ya Waisraeli. Daudi aliwaua Waaramu 700 waliokuwa madereva wa magari ya vita, wapandafarasi 40,000. Pia alimwumiza Shobaki kamanda wa jeshi lao, naye akafia papo hapo.

2 Samueli 10

2 Samueli 10:8-19