2 Mambo Ya Nyakati 7:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Solomoni kwa muda wa siku saba alifanya sikukuu pamoja na kusanyiko kubwa la watu wote wa Israeli waliotoka kiingilio cha Hamathi mpaka mto wa Misri.

2 Mambo Ya Nyakati 7

2 Mambo Ya Nyakati 7:3-11