2 Mambo Ya Nyakati 4:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Hali kadhalika alitengeneza birika juu ya magari,

15. na tangi lile moja, na sanamu za mafahali kumi na mawili chini ya hilo tangi.

16. Halafu masufuria, sepetu na nyuma na vyombo vingine vyote vya nyumba ya Mwenyezi-Mungu ambavyo Huramu-abi alimtengenezea mfalme Solomoni, vilikuwa vya shaba iliyongarishwa.

2 Mambo Ya Nyakati 4