2 Mambo Ya Nyakati 5:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, Solomoni akamaliza kazi zote zilizohusu nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Kisha Solomoni akaleta mali yote Daudi baba yake aliyokuwa ameiweka wakfu, yaani: Fedha, dhahabu na vyombo; akaiweka katika hazina za nyumba ya Mungu.

2 Mambo Ya Nyakati 5

2 Mambo Ya Nyakati 5:1-11