2 Mambo Ya Nyakati 36:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoyakini alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala. Alitawala huko Yerusalemu kwa muda wa miezi mitatu na siku kumi. Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu.

2 Mambo Ya Nyakati 36

2 Mambo Ya Nyakati 36:1-15