2 Mambo Ya Nyakati 36:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwaka ulipokwisha, mfalme Nebukadneza alituma wajumbe, wakamchukua Yehoyakini mateka hadi Babuloni, pamoja na vyombo vya thamani vya nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Akamtawaza Sedekia, nduguye, kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.

2 Mambo Ya Nyakati 36

2 Mambo Ya Nyakati 36:4-19