2 Mambo Ya Nyakati 36:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi, mfalme wa Persia, ili litimie neno la Mwenyezi-Mungu alilolinena kwa njia ya nabii Yeremia, Mwenyezi-Mungu alimfanya Koreshi, mfalme wa Persia, atangaze amri ifuatayo katika ufalme wake wote na kuiweka katika maandishi:

2 Mambo Ya Nyakati 36

2 Mambo Ya Nyakati 36:13-23