2 Mambo Ya Nyakati 36:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo likatimia neno la Mwenyezi-Mungu alilosema nabii Yeremia: “Nchi itabaki tupu bila kulimwa miaka sabini kulingana na muda wa pumziko ambao haukuadhimishwa.”

2 Mambo Ya Nyakati 36

2 Mambo Ya Nyakati 36:19-23