2 Mambo Ya Nyakati 35:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao waimbaji wazawa wa Asafu walishika nafasi zao, kwa mujibu wa maagizo ya mfalme Daudi, Asafu, Hemani na Yeduthuni, mwonaji wa mfalme. Nao mabawabu walikuwa kwenye malango; hawakuhitajika kuziacha nafasi zao za kazi kwa kuwa ndugu zao Walawi waliwaandalia Pasaka.

2 Mambo Ya Nyakati 35

2 Mambo Ya Nyakati 35:7-21