2 Mambo Ya Nyakati 34:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Yosia aliondoa sanamu zote za kuchukiza zilizokuwa katika eneo lote la watu wa Israeli, na kuwahimiza watu wote wa Israeli kumtumikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wao. Katika maisha yake yote hawakumwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao.

2 Mambo Ya Nyakati 34

2 Mambo Ya Nyakati 34:31-33