2 Mambo Ya Nyakati 34:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena aliwafanya wote waliokuwa katika Yerusalemu na katika Benyamini kuzingatia agano. Nao wakazi wa Yerusalemu waliishi kwa kufuata agano la Mungu, Mungu wa babu zao.

2 Mambo Ya Nyakati 34

2 Mambo Ya Nyakati 34:29-33