2 Mambo Ya Nyakati 34:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Hilkia alimwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.” Halafu Hilkia akampatia Shafani kitabu.

2 Mambo Ya Nyakati 34

2 Mambo Ya Nyakati 34:11-19