2 Mambo Ya Nyakati 34:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati walipokuwa wanashughulika na utoaji wa fedha zilizokuwa zimeletwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, kuhani Hilkia alipata Kitabu cha Sheria ya Mwenyezi-Mungu iliyotolewa kwa mkono wa Mose.

2 Mambo Ya Nyakati 34

2 Mambo Ya Nyakati 34:5-19