2 Mambo Ya Nyakati 33:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Nayo sanamu aliyoitengeneza, aliiweka katika nyumba ya Mungu mahali alipopazungumzia, mbele ya Daudi na Solomoni mwanawe: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu kati ya makabila kumi na mawili ya Israeli, ndipo mahali nitakapoabudiwa milele.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:2-15