2 Mambo Ya Nyakati 33:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia aliwatoa wanawe kama sadaka ya kuteketeza katika bonde la mwana wa Hinomu. Alipiga ramli, alibashiri na alitumia hirizi; hata alishirikiana na waaguzi wa mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Mwenyezi-Mungu, akamkasirisha.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:1-13