2 Mambo Ya Nyakati 33:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Alirudisha madhabahu ya kumwabudia Mwenyezi-Mungu, na juu yake akatoa tambiko za amani na za shukrani, akawaamuru watu wa Yuda wamwabudu Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:8-18