2 Mambo Ya Nyakati 33:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Alitoa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu miungu yote ya kigeni na sanamu pamoja na madhabahu zote alizokuwa amezijenga kwenye mlima wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu na katika Yerusalemu; alivitupa nje ya mji.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:8-24