2 Mambo Ya Nyakati 31:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo, mfalme aliwaambia wenyeji wa Yerusalemu watoe sehemu waliyostahili kupewa makuhani na Walawi, ili wao wajitolee kikamilifu katika shughuli za sheria za Mwenyezi-Mungu.

2 Mambo Ya Nyakati 31

2 Mambo Ya Nyakati 31:2-13