2 Mambo Ya Nyakati 31:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutokana na mali yake mwenyewe, mfalme alitoa sehemu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa asubuhi na jioni, sadaka za siku ya Sabato na wakati wa sherehe za kuadhimisha mwezi mwandamo na zile sikukuu nyingine zilizoamriwa kulingana na sheria ya Mwenyezi-Mungu.

2 Mambo Ya Nyakati 31

2 Mambo Ya Nyakati 31:1-6