2 Mambo Ya Nyakati 30:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Walichukua nafasi zao hekaluni kulingana na maagizo yaliyokuwamo katika sheria za Mose, mtu wa Mungu. Walawi waliwapa makuhani damu ya tambiko, nao wakainyunyiza madhabahuni.

2 Mambo Ya Nyakati 30

2 Mambo Ya Nyakati 30:6-25