2 Mambo Ya Nyakati 30:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya kumi na nne ya mwezi huo walichinja mwanakondoo wa Pasaka. Makuhani na Walawi waliona aibu, wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketeza katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

2 Mambo Ya Nyakati 30

2 Mambo Ya Nyakati 30:9-24