2 Mambo Ya Nyakati 25:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Amazia akamwuliza huyo mtu wa Mungu, “Tutafanyaje na fedha yote ambayo nimekwisha wapa wanajeshi wa Israeli?” Naye akamjibu, “Mwenyezi-Mungu anaweza kukupa zaidi ya hiyo.”

2 Mambo Ya Nyakati 25

2 Mambo Ya Nyakati 25:6-10