2 Mambo Ya Nyakati 25:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Amazia akawaachia wanajeshi waliotoka Efraimu warudi makwao. Basi wakarejea kwao wakiwa wamewakasirikia sana watu wa Yuda.

2 Mambo Ya Nyakati 25

2 Mambo Ya Nyakati 25:1-15