2 Mambo Ya Nyakati 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

kwamba wakipatwa na maafa yoyote, vita, maradhi mabaya, au njaa, basi watakuja na kusimama mbele ya nyumba hii mbele yako, wakulilie katika shida zao, nawe utawasikiliza na kuwaokoa.

2 Mambo Ya Nyakati 20

2 Mambo Ya Nyakati 20:8-14