2 Mambo Ya Nyakati 20:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa watu wa Amoni, Moabu na wa mlima Seiri, ambao hukuwaruhusu babu zetu washambulie nchi zao walipotoka Misri, wakapitia kandokando wasiwaangamize,

2 Mambo Ya Nyakati 20

2 Mambo Ya Nyakati 20:4-14