2 Mambo Ya Nyakati 17:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Walawi tisa na Makuhani wawili waliandamana nao. Walawi hao walikuwa Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia na Tob-adoniya; na makuhani walikuwa Elishama na Yehoramu.

2 Mambo Ya Nyakati 17

2 Mambo Ya Nyakati 17:4-12