1 Wakorintho 7:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mtu anaona kwamba hamtendei vyema mchumba wake asipomwoa, na kama tamaa zake zinamshinda, na afanye atakavyo; waoane tu; hatakuwa ametenda dhambi.

1 Wakorintho 7

1 Wakorintho 7:35-40