1 Wakorintho 7:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Nawaambieni haya kwa faida yenu, na si kwa kuwawekeeni kizuizi. Nataka tu muwe na mpango unaofaa, mpate kumtumikia Bwana kwa moyo na nia moja.

1 Wakorintho 7

1 Wakorintho 7:32-37